Tone

Tone
Home » » BODI YA BARABARA MWANZA YAMUONYA MENEJA WA TAMESA KWA KUDHARAU MAAZIMIO YA KIKAO CHA BODI.

BODI YA BARABARA MWANZA YAMUONYA MENEJA WA TAMESA KWA KUDHARAU MAAZIMIO YA KIKAO CHA BODI.

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhandisi Evarist Ndikilo (Mwenyekiti) akiendesha Kikao cha Bodi ya Barabara kinachoendelea katika Ukumbi wa BOT mkoani Mwanza, kulia ni Kaimu Katibu Tawala Mkoa wa Mwanza (RAS) Ndaro Kulwijila.
Meneja wa TANROAD Mkoa wa Mwanza Eng. Leonard Kadashi na baadhi ya watendaji wa ofisi yake na wajumbe wengine wakifuatilia ndani ya kikao katika ukumbi wa Chuo cha Benki Kuu ya Tanzania (BOT) Capil Point Jijini Mwanza.
Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe Mary Tesha akitaka maelekezo kutoka kwenye kabrasha la Kikao hicho (Kulia) na kushoto ni Mkuu wa Wilaya ya Magu Jackiline Liana na Mkuu wa Wilaya Ilemela Amina Masenza
Sehemu ya Wajumbe ambao ni Wabunge wa Majimbo ya Mkoa wa Mwanza
Mkurugenzi wa Jiji la Mwanza Hassan Hida
Mbunge wa Jimbo la Ilemela Highness Kiwia, akitaka ufafanuzi juu ya barabara za Manispaa ya Ilemela ya Tx Monza hadi Buswelu ambayo imekuwa changamoto kubwa katika kuihudumia mara baada ya wilaya yake kukabidhiwa barabara hiyo na serikali.
Mbunge wa Jimbo la Kwimba Shanif Mansoor akitaka ufafanuzi juu ya ujenzi wa kiwango cha lami kutoka Hungumalwa kupitia Mwankurwe, Nyamilama, Ngudu hadi Magu.
Meneja wa TANROAD Mkoa wa Mwanza Eng. Leonard Kadashi akitoa ufafanuzi wa hoja za wajumbe wa kikao hicho kinachoendelea sasa.
Mwenyekiti wa Kikao Eng. Evarist Ndikilo (Mkuu wa Mkoa wa Mwanza) akisisitiza jambo kwenye kikao.
Ndani ya Kikao Ukumbi wa BOT Mwanza.

0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Mwanza Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa