Tone

Tone
Home » » IDARA YA HEKAHEKA YA LEO TENA CLOUDS YAFANYIKA DUKA JIPYA LA TIGO MWANZA

IDARA YA HEKAHEKA YA LEO TENA CLOUDS YAFANYIKA DUKA JIPYA LA TIGO MWANZA

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.
Mtangazaji wa kipindi cha Leo Tena cha Clouds fm, Geah Habib akiendesha kipindi chake ndani ya duka jipya la Tigo mkoani Mwanza hii leo. Hii ni sehemu ya shamrashamra za msimu wa Tigo fiesta 2017.



Mtangazaji wa kipindi cha Leo Tena cha Clouds fm, Geah Habib akiendesha kipindi chake ndani ya duka jipya la Tigo mkoani Mwanza hii leo. Hii ni sehemu ya shamrashamra za msimu wa Tigo fiesta 2017.
Wafanyakazi wa Tigo wakiendelea kutoa Huduma 

Msimamizi wa duka la Tigo Barbara ya Nyerere mkoani Mwanza, Neema Mossama akizungumzia jinsi gani wateja wa Tigo wataweza kunufaika na huduma zao ndani ya msimu huu wa Tigo fiesta.


0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Mwanza Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa