Tone

Tone
Home » » KIKOSI KAZI CHA WATU KUMI KITAKACHOSHAMBULIA KONGAMANO LA SAUTI YA MWANAMKE JIJINI MWANZA LEO.

KIKOSI KAZI CHA WATU KUMI KITAKACHOSHAMBULIA KONGAMANO LA SAUTI YA MWANAMKE JIJINI MWANZA LEO.

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. 
Leo linafanyika Kongamano kubwa la Sauti ya Mwanamke Jijini Mwanza kuanzia saa kumi alasiri ndani ya Gold Crest Hotel. Kongamano limeandaliwa na kampuni ya Chocolate Princes inayoandaa kipindi cha The Mboni Show cha Mboni Masimba.

Kuna elimu, burudani, chakula na vinywaji kwa elfu arobaini tu hivyo usithubutu kukosa kwani kikosi cha zaidi ya watu kumi tayari kimejipanga sawa sawa kufanya kazi yake ipasavyo.

Tayari tiketi za kongamano hilo litakalofanyika tarehe sita mwezi huu kwenye ukumbi wa Gold Crest Hotel Jijini Mwanza zimeanza kuuzwa kwa shilingi elfu arobaini katika maeneo mbalimbali ikiwemo Gold Crest Hotel, TSN Super Market Rock City Mall, Flora Salon, Kayvies Beaty Parlour Magnum Hotel Ghana, Idda Garments, Diamond Bar Kona ya Bwiru pamoja Bladict Classic Wear mtaa wa Uhuru Dampo.
Na BMG Habari

0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Mwanza Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa