Tone

Tone
Home » » KONGAMANO LA SAUTI YA MWANAMKE KUWAWEKA PAMOJA WANAWAKE JIJINI MWANZA KUJIFUNZA NA KUPATA BURUDANI.

KONGAMANO LA SAUTI YA MWANAMKE KUWAWEKA PAMOJA WANAWAKE JIJINI MWANZA KUJIFUNZA NA KUPATA BURUDANI.

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. 
Kongamano la Sauti ya Mwanamke ambalo limeandaliwa na Kampuni ya CHOCOLATE PRINCES inayoandaa kipindi cha THE MBONI SHOW chini ya mtangazaji wake Mboni Masimba, kinachoruka TBC1, litawakutanisha wanawake wengi Jijini Mwanza kupata elimu ya kujikwamua kiuchumi pamoja na kupata burudani.

Ni Jumapili tarehe 06.11.2016 katika Ukumbi wa Gold Crest Hotel kuanzia majira ya saa kumi alasiri kwa kiingilio cha shilingi elfu arobaini pamoja na chakula.

0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Mwanza Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa