Home » » JUST IN: TUKIO KATIKA PICHA : WAFANYABIASHARA WA JIJINI MWANZA WAENDELEA NA MGOMO YA KUZIKATAA MASHINE ZA EFD KUTOKA TRA, WAFUNGA MADUKA

JUST IN: TUKIO KATIKA PICHA : WAFANYABIASHARA WA JIJINI MWANZA WAENDELEA NA MGOMO YA KUZIKATAA MASHINE ZA EFD KUTOKA TRA, WAFUNGA MADUKA

 Maduka yakiwa yamefungwa jijini mwanza


 Hakuna duka lililo wazi



 Hata wenye magenge nao wamewasapoti wafanya biashara kwa kufunga biashara zao

 Jiji limetulia kabisa




 Kila kona ya jiji la Mwanza hakuna ishu yoyote
 Hakuna kinacho endelea


 Watu wakiwa wamekaa tuu bila kuwa na kazi yoyote



 Mitaa yote maduka yamefungwa.

Picha zote na Mwanza yetu Blog


0 comments:

 
Blogs za Mikoa
Copyright © 2012. Mwanza Yetu - All Rights Reserved
Designed by Blogs za Mikoa
Proudly powered by Blogs za Mikoa