Wananchi mbalimbali wakipata elimu kuhusu umuhimu wa kujiunga na Skimu ya Hifadhi kutoka kwa Meneja wa Wananchi Waliojiajiri wa NSSF, Bi. Rehema Chuma. Elimu hiyo inalenga kuwahamasisha wananchi, hususan waliojiajiri, kujiunga na kujiwekea akiba kwa ajili ya usalama wa maisha yao ya sasa na ya baadaye.
Home »
» Skimu ya Hifadhi ya Jamii Inakuhusu Hata Wewe

.jpeg)





0 comments:
Post a Comment