Tone

Tone
Home » » RAIS MAGUFULI AVAMIA UWANJA WA NYAMAGANA KUANGALIA MPIRA

RAIS MAGUFULI AVAMIA UWANJA WA NYAMAGANA KUANGALIA MPIRA

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.
Rais akiingia Uwanja wa Mpira wa Nyamagana jijini Mwanza kushuhudia mechi ya mpira Kati ya Timu yaBuhongwa na Nyamagwa FC
Rais Magufuli akisalimiana na wachezaji wa mpira alipowasili katika Uwanja wa Nyamagana
Rais Magufuli akisalimiana na wachezaji wa mpira wa miguu katika Uwanja wa Nyamagana Mwanza.
Rais John Magufuli akiwa na Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, John Mongela (kulia) wakifuatilia mchezo wa mpira wa miguu kati ya timu ya Buhongwa na Nyamagwa FC katika Uwanja wa Nyamagana, Mwanza.
PICHA NA IKULU

0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Mwanza Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa