Tone

Tone
Home » » TWIGA CEMENT YAWAPIGA MSASA WAFYATUA TOFALI JIJINI MWANZA

TWIGA CEMENT YAWAPIGA MSASA WAFYATUA TOFALI JIJINI MWANZA

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. 

Mkurugenzi wa Biashara wa Kampuni ya Cement ya Twiga Simon Delens,akizungumza na wafyatua matofali wa Mkoani Mwanza juzi,kwenye semina ya mafunzo ya kutengeneza matofali imara.
Mhandisi kutoka Kampuni ya Cement ya Twiga Emmanuel Owoya, akitoa maelezo ya umuhimu wa kuvaa viatu vya usalama wakati wa kazi,kwenye mafunzo ya matengeneza matofali wa Mkoani Mwanza juzi.
Mhandisi kutoka Kampuni ya Cement ya Twiga Emmanuel Owoya,akimvalisha kifaa cha kuzuia vumbi puani na mdomoni mmoja wa watengeneza matofali mkoani Mwanza Issac Waitara, kwenye mafunzo ya kutengeneza matofali wa imara.
Mhandisi kutoka Kampuni ya Cement ya Twiga Emmanuel Owoya,akionyesha nguo ya usalama (Overall)na umuhimu wa kuivaa wakati wa kazi,kwenye mafunzo ya matengeneza matofali wa Mkoani Mwanza juzi.
 
Mkurugenzi wa Biashara wa Kampuni ya Cement ya Twiga Simon Delens,akimpongeza Nickson Cheka(kulia) baada ya kujibu vizuri maswali Mkoani  Mwanza juzi,kwenye semina ya mafunzo ya kutengeneza matofali imara.
Baadhi ya wafyatua matofali wa Mkoani Mwanza wakiwa na wafanyakazi wa Kamuni ya saruji ya Twiga baada ya semina ya kuwafundisha mambo yahusuyo usalama, afya na kutengeneza mtofali yaliyo bora.

0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Mwanza Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa