Tone

Tone
Home » » MANSOOR SHANIF HIRANI AIMARISHA KIKOSI CHAKE KUELEKEA

MANSOOR SHANIF HIRANI AIMARISHA KIKOSI CHAKE KUELEKEA

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.


Uzinduzi wa kampeni za Chama cha Mapinduzi CCM jimbo la Kwimba umefanyika leo na hapa mgombea wa nafasi ya Ubunge kupitia chama hicho Mansoor Shanif Hiran akizungumza na Wajumbe, mabalozi, wenyeviti wa mitaa mbalimbali, makatibu pamoja na wagombea nafasi ya udiwani kujiweka sawa.
Mjumbe wa NEC jimbo la Kwimba Mhe. Mahewa Lameck akimwaga darasa kwa wajumbe wa mkutano.
Wajumbe wa mkutano.
Mipango mikakati...Nini kifanyike...Uzinduzi wa kampeni za Chama cha Mapinduzi CCM jimbo la Kwimba umefanyika leo na hapa mgombea wa nafasi ya Ubunge kupitia chama hicho Mansoor Shanif Hiran akizungumza na Wajumbe, mabalozi, wenyeviti wa mitaa mbalimbali, makatibu pamoja na wagombea nafasi ya udiwani kujiweka sawa.
Wajumbe wa mkutano, kusanyikoni na kulia ni Dogo Mansoor.
Mipango mikakati.
Ushindi hapa lazima.
Familia ya mgombea wa kiti cha ubunge jimbola Kwimba Mansoor Shanif Hiran katika muonekano wa kutoa sapoti kuelekea ukumbi wa mkutano.
Wajumbe mkutanoni.
Hapa kazi tu....!!
Umakini.
Ni lazima kujipanga.
PICHA NA ZEPHANIA MANDIA.


0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Mwanza Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa