Home »
» WASHINDI "TANAPA MEDIA AWARDS 2013 "WAPATIKANA WAKABIDHI ZAWADI
WASHINDI "TANAPA MEDIA AWARDS 2013 "WAPATIKANA WAKABIDHI ZAWADI
Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.
Mshereheshaji
Sauda Simba Kilumanga akiwakaribisha wageni katika ukumbi wa JB Belmont
jijini Mwanza kwa ajili ya sherehe za utolewaji wa Tuzo kwa Wanahabari
zinazoandaliwa na Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA)
Meneja
Mawasiliano wa Shirika la Hifadhi za Taifa,Tanzania(TANAPA)Paschal
Shelutete akifanya utamburisho wa wageni mbalimbali waliofika katika
shughuli hiyo.
Baadhi ya wageni mbalimbali katika shughuli hiyo.
Meza kuu iliongozwa na Waziri wa Maliasili na Mazingira ,Lazaro Nyarandu.
0 comments:
Post a Comment