Home » » WASHINDI "TANAPA MEDIA AWARDS 2013 "WAPATIKANA WAKABIDHI ZAWADI

WASHINDI "TANAPA MEDIA AWARDS 2013 "WAPATIKANA WAKABIDHI ZAWADI

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. 
Mshereheshaji Sauda Simba Kilumanga akiwakaribisha wageni katika ukumbi wa JB Belmont jijini Mwanza kwa ajili ya sherehe za utolewaji wa Tuzo kwa Wanahabari zinazoandaliwa na Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA)
Meneja Mawasiliano wa Shirika la Hifadhi za Taifa,Tanzania(TANAPA)Paschal Shelutete akifanya utamburisho wa wageni mbalimbali waliofika katika shughuli hiyo.
Baadhi ya wageni mbalimbali katika shughuli hiyo.
Meza kuu iliongozwa na Waziri wa Maliasili na Mazingira ,Lazaro Nyarandu.


0 comments:

 
Blogs za Mikoa
Copyright © 2012. Mwanza Yetu - All Rights Reserved
Designed by Blogs za Mikoa
Proudly powered by Blogs za Mikoa