Kwa ukaribu zaidi ni damu ya muhudumu wa rest house Bi. Bernadeta Alfred aliyelipukiwa na bomu lililowekwa kwenye kifurushi alichokifungua ili kubaini kilichokuwa ndani. |
Hali tete. |
Kishindo kikubwa kilitokea na kutoa sauti kubwa na moshi huku kikisambaza misumari mingi midogomidogo na kujeruhi vibaya mhudumu huyo hasa sehemu za miguuni na usoni.PICHA NA GSENGO BLOG |
0 comments:
Post a Comment