Tone

Tone
Home » » PICHA ZIKIONESHA NYUMBA NA JINSI MHUDUMU WA KANISA HUKO MWANZA ALIVYOLIPUKIWA NA BOMU

PICHA ZIKIONESHA NYUMBA NA JINSI MHUDUMU WA KANISA HUKO MWANZA ALIVYOLIPUKIWA NA BOMU

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. 

Damu zimetanda mbele ya lango la kuingilia Rest House ya Kanisa la KKKT Dayosisi Mashariki ya Ziwa Victoria, mara baada ya tukio la kulipuka kwa bomu katika Ushirika wa Kanisa Kuu Imani jijini Mwanza.
Kwa ukaribu zaidi ni damu ya muhudumu wa rest house Bi. Bernadeta Alfred aliyelipukiwa na bomu lililowekwa kwenye kifurushi alichokifungua ili kubaini kilichokuwa ndani.
Hali tete.
Kishindo kikubwa kilitokea na kutoa sauti kubwa na moshi huku kikisambaza misumari mingi midogomidogo na kujeruhi vibaya mhudumu huyo hasa sehemu za miguuni na usoni.PICHA NA GSENGO BLOG

0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Mwanza Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa