Mkuu wa mkoa
wa Mwanza, Bw. Evarist Ndikilo (Kushoto) akijadiliana jambo na ujumbe kutoka
mfuko wa Pensheni wa PSPF wakiongozwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Mfuko huo, Bw.
Adam Mayingu (kulia), lengo la ziara hiyo ni kukutana na wadau wa Mfuko huo,
kuangalia fursa za uwekezaji na na kuhamasisha jamii kujiunga katika mpango wa
uchangiaji wa hiari (PSPF Supplementary
Scheme) ambapo kila mtu anaweza kujiunga na kujipatia mafao bora kwa maisha
ya sasa na baadaye.
Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.
0 comments:
Post a Comment