Tone

Tone
Home » » EDITH EMILY MUDOGO, DIWANI KATA YA NYEGEZI JIJINI MWANZA NI KAZI TU.

EDITH EMILY MUDOGO, DIWANI KATA YA NYEGEZI JIJINI MWANZA NI KAZI TU.

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. 

Na:George Binagi-GB Pazzo @Binagi Media Group (BMG)

Mudogo ni miongoni mwa Madiwani wachapa kazi ambao wanaendana na Kauli Mbiu ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.John Magufuli ya "HAPA KAZI TU" hii ikiwa ni kutokana na utendaji wake wa kazi uliotukuka.

Kulia ni Hakimu Mkazi Mwandamizi Mkoa wa Mwanza akisimamia zoezi la uapishaji Jijini Mwanza.
Diwani wa Kata ya Nyegezi Jijini Mwanza kupitia tiketi ya Chama cha Mapinduzi CCM, Edith Emily Mudogo akiapa jana ili kuwatumikia wananchi wa Kata hiyo katika kikao cha kwanza cha baraza la Madiwani wa halmshauri ya Jiji la Mwanza.
Madiwani wa Jiji la Mwanza wakiapa kuwatumikia wananchi
Baadhi ya Madiwani wa Jiji la Mwanza akiwemo diwani wa Kata ya Nyegezi (CCM) Edith Emily Mudogo.
Diwani wa Kata ya Nyegezi (CCM) Edith Emily Mudogo baada ya kuapishwa jana. Yeye kwake ni Kazi Tu.
Wananchi na wageni viongozi mbalimbali wakifuatilia kikao cha kwanza cha baraza la Madiwani wa halmashauri ya Jiji la Mwanza.


0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Mwanza Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa