MWANAUME mmoja mkazi wa Igeregere Bugarika jijini Mwanza
amejikuta katika wakati mgumu baada ya kukatwa uume wake na mwanamke anayedaiwa
kuwa alikuwa ni mpenzi wake.
Mwanaume huyo ambaye
jina linahifadhiwa ameripotiwa kukumbwa na mkasa huo siku ya juma mosi wiki
iliyopita nyumbani kwake.
Baadhi ya majirani wa
mwanaume huyo wamesema mwanamke aliyefanya tukio hilo alikuwa amelewa na sababu
za ugomvi huo ni chakula. BOFYA PLAY KUSIKILIZA MKASA.
Siku ya tukio mwanaume
huyo alifika nyumbani kwake akiwa amechoka akitokea shamabi alikokuwa amekwenda
kulima.
Baada ya kufika
nyumbani hakumkuta mwanamke huyo ambapo aliamua kupika na kumuachia chakula
kidogo mwanamke huyo.
KUMALIZIA KUSOMA KISA HIKI BOFYA HAPA G SENGO BLOG
KUMALIZIA KUSOMA KISA HIKI BOFYA HAPA G SENGO BLOG
0 comments:
Post a Comment