Tone

Tone
Home » » TUKIO RASMI KATIKA PICHA, HIVI NDIVYO ILIVYOKUWA KATIKA MKUTANO WA LOWASSA JIJINI MWANZA

TUKIO RASMI KATIKA PICHA, HIVI NDIVYO ILIVYOKUWA KATIKA MKUTANO WA LOWASSA JIJINI MWANZA

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399. 

Mgombea Urais wa Tanzania kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia mwamvuli wa UKAWA, Mh. Edward Lowassa akiwasili kwenye Uwanja wa Furahisha, Jijini Mwanza leo Oktoba 12, 2015.tayari kwa Mkutano wa Kampeni.(Picha zote na Othman Michuzi)
Mgombea Urais wa Tanzania kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia mwamvuli wa UKAWA, Mh. Edward Lowassa, akiwasalimia wananchi wa Jiji la Mwanza waliokuwa wamefurika kwa wingi kwenye Uwanja wa Furahisha, kulikofanyika Mkutano wa Kampeni zake,  Oktoba 12, 2015.
Mwanasiasa Mkongwe nchini, Mzee Kingunge Ngombale Mwiru, akiwasalimia wananchi, katika Mkutano wa Kampeni za Mgombea Urais wa Tanzania kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia mwamvuli wa UKAWA, Mh. Edward Lowassa, uliofanyika kwenye Uwanja wa Furahisha, Jijini Mwanza  Oktoba 12, 2015. 
 Mgombea Urais wa Tanzania kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia mwamvuli wa UKAWA, Mh. Edward Lowassa, akiwahutubia wananchi wa Jiji la Mwanza waliokuwa wamefurika kwa wingi kwenye Uwanja wa Furahisha, kulikofanyika Mkutano wa Kampeni, leo Oktoba 12, 2015.
Mgombea Urais wa Tanzania kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia mwamvuli wa UKAWA, Mh. Edward Lowassa akikumbatiana na Mwanasiasa Mkongwe nchini, Mzee Kingunge Ngombale Mwiru, wakati alipowajili kwenye Uwanja wa Furahisha, Jijini Mwanza leo Oktoba 12, 2015.
Mgombea Urais wa Tanzania kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia mwamvuli wa UKAWA, Mh. Edward Lowassa akiteta jambo na Mwanasiasa Mkongwe nchini, Mzee Kingunge Ngombale Mwiru, wakati alipowajili kwenye Uwanja wa Furahisha, Jijini Mwanza leo Oktoba 12, 2015.
Wananchi wa Jiji la Mwanza wakiitikia salam ya "Mabadilikoooo" katika Mkutano wa Mkutano wa Kampeni za Mgombea Urais wa Tanzania kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia mwamvuli wa UKAWA, Mh. Edward Lowassa, uliofanyika kwenye Uwanja wa Furahisha, Jijini Mwanza leo Oktoba 12, 2015.
Meneja wa Kampeni za Chadema, John Mrema akiongoza Mkutano huo leo.
Mgombea Mwenza wa Urais wa Tanzania kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia mwamvuli wa UKAWA, Mh. Juma Duni Haji, akiwasalimia wananchi, katika Mkutano wa Kampeni, uliofanyika kwenye Uwanja wa Furahisha, Jijini Mwanza leo Oktoba 12, 2015.
Mgombea Urais wa Tanzania kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia mwamvuli wa UKAWA, Mh. Edward Lowassa akisalimia na Mgombea Mwenza wake, Mh. Juma Duni Haji, katika Mkutano wa Kampeni, uliofanyika kwenye Uwanja wa Furahisha, Jijini Mwanza leo Oktoba 12, 2015.
Mgombea Ubunge wa Jimbo la Nyamagana kwa tiketi ya Chadema, Hainesy Kiria akihutubia wananchi wa Jiji la Mwanza waliokuwa wamefurika kwa wingi kwenye Uwanja wa Furahisha, kulikofanyika Mkutano wa Kampeni, leo Oktoba 12, 2015.
Mwenyekiti mwenza wa UKAWA ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama cha NCCR - Mageuzi, James Mbatia akiwahutubia wananchi huku akiitumia rasimu ya Katiba Inayopendekezwa, katika Mkutano wa Kampeni, uliofanyika kwenye Uwanja wa Furahisha, Jijini Mwanza leo Oktoba 12, 2015.






















0 comments:

 
Supported by Tone Multimedia Company Limited
Copyright © 2012. Mwanza Yetu - All Rights Reserved
Designed by Fredy Tony Njeje
Proudly powered by Blogs za Mikoa