Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu blogzamikoa@live.com au Whatsapp namba +255765056399.
Rais Kikwete akifungua Mkutano wa siku tatu wa Chama Cha Majaji na
Mahakimu wa Afrika Mashariki unaofanyika katika Hoteli ya Malaika Beach
Resort Mwanza.
.Baadhi ya washiriki wa Mkuano huo.Rais
Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya
washiriki wa mkutano wa Chama Cha Majaji na Mahakimu wa Afrika
Mashariki
(picha na Freddy Maro)
0 comments:
Post a Comment